

Lugha Nyingine
苹果Siri被曝重大漏洞:私自读取用户信息
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Juni 09, 2025
百度 会议传达了原中共浙江省委常委、杭州市委书记,浙江省人民政府咨询委员会副主任,杭州城市学研究理事会理事长王国平的指导意见。
Majira ya kuvuna mazao ya mpunga yamewadia katika Kijiji cha Moqiao, Wilaya ya Qiongshan ya Mji wa Haikou, Mkoa wa Hainan, kusini mwa China, ambapo wakulima wanatumia kikamilifu hali nzuri ya hewa kuharakisha uvunaji.
Katika miaka ya hivi karibuni, maendeleo ya eneo hilo la uzalishaji wa mazao ya mpunga si tu yamefufua mashamba ambayo yalikuwa yametelekezwa hapo awali lakini pia yamejenga na kukuza chapa wakilishi za mazao ya kilimo, kuongeza mapato ya wakulima na kuhimiza ustawi wa kijiji.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma