

Lugha Nyingine
台湾中山高速彰化路段4车连环撞 2死3伤大塞车
Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) imesisitiza tena dhamira yake kuendeleza mchakato wa mafungamano ya kikanda baada ya Tanzania kupiga marufuku wageni kuendesha biashara ndogo.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na katibu mkuu wa EAC Bi Veronica Nduva jana Alhamisi, nchi wanachama zinatakiwa kufuata itifaki ya Soko la Pamoja la Jumuiya hiyo, ambayo inahimiza mjongeo huru wa bidhaa, huduma na watu katika kanda hiyo.
"Nchi wanachama lazima zijizue kurudisha nyuma au kuzuia sekta na biashara ambazo zilishazifanya kuwa huria" taarifa hiyo imesisitiza, ikirejelea Kiambata V cha ratiba ya ahadi ya mpango wa soko la pamoja la EAC kwa dhamira ya uhuria endelevu wa huduma.
Taarifa hiyo imeeleza kuwa, jumuiya ya EAC inahimiza nchi zote wanachama kutekeleza wajibu wao kimkataba ili kulinda ukamilifu wa soko moja la kikanda.
Miujiza ya Wanyamapori: Kutoka Mbuga Tambarare za Afrika hadi Uwanda wa Juu wa Qinghai -Tibet, China
Mandhari ya Kipekee ya Karst katika Mkoa wa Guizhou yavutia watalii
Tamasha la kimataifa la densi lafunguliwa katika Mkoa wa Xinjiang, China likiwa na maonyesho 52
Wakulima wa China wawa na pilikapilika za uzalishaji wa kilimo katika kipindi cha Dashu
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma